EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Iraq yadai kuwashinda ISIL Baiji

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399


Iraq inadai vikosi vyake sasa vinaudhibiti mtambo wa mafuta wa Baiji huku jumuiya ya kimataifa ikizidi kuishinikiza kuwajumuisha Wairaqi wote kuiunganisha dhidi ya misingi ya kimadhehebu na itikadi.
Jeshi la Iraq likijitayarisha kuelekea uwanja wa mapambano katika mtambo wa mafuta wa Baiji. Jeshi la Iraq likijitayarisha kuelekea uwanja wa mapambano katika mtambo wa mafuta wa Baiji.
Televisheni inayomilikiwa na serikali ya Iraq imeripoti kwamba mtambo huo mkubwa kabisa umetwaliwa na wanajeshi wa serikali baada ya mapambano makali na waasi. Hadi alfajiri ya Jumatano, kikosi maalum cha wapiganaji kutoka kundi la Dola ya Kiislamu ya Iraq na Sham (ISIL) kilionekana kuwa na udhibiti kamili wa mtambo huo ulio umbali wa kilomita 200 kutoka mji mkuu, Baghdad, na ambao hutoa robo nzima ya mafuta ya Iraq.
Afisa mmoja wa jeshi ameliambia shrika la habari la Ujerumani (dpa) kwamba sasa ni wanajeshi wa serikali walio kwenye eneo hilo, na hakuna uwezekano wa kurudi tena kwa ISIL. Hata hivyo, madai hayo bado hayajathibitishwa na vyanzo huru.
Mapigano ya kuwania udhibiti wa mtambo huo yamedumu kwa takribani wiki moja sasa, baada ya wanamgambo wa ISIL kuutwaa mapema mwezi huu. Tayari waasi hao wanadhibiti mji wa kaskazini wa Mosul na miji mingine midogo midogo kuelekea mji mkuu, Baghdad. Serikali inadai baadhi ya miji hiyo, lakini vyanzo kadhaa vya habari vinatilia shaka madai hayo.
Wito wa jumuiya ya kimataifa
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani akizungumza bungeni jijini Berlin. Kansela Angela Merkel wa Ujerumani akizungumza bungeni jijini Berlin.
Uwezo wa waasi kusonga mbele kirahisi umezua wasiwasi kwenye jamii ya kimataifa, huku sera ya Waziri Mkuu Nuri al-Maliki ya kuwapendelea Wairaqi wa madhehebu yake ya Shia na kuwadhalilisha wale wa Sunni ikikosolewa vikali.
Ukosoaji wa hivi karibuni kabisa imetoka kwa Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ambaye katika hotuba yake bungeni siku ya Jumatano amesema serikali ya Iraq imeshindwa kwa miaka kadhaa kujumuisha mitazamo ya makundi yote nchini humo.
"Tunahitaji serikali nchini Iraq ambayo inawakumbatia raia wote. Kwa miaka mingi, hilo halijatokezea na kwa sababu ya hilo, ndipo maana shinikizo linapaswa kuongezwa (dhidi ya serikali ya Iraq)." Amesema Kansela Merkel.
Nusra Front yajiunga rasmi na ISIL
Wapiganaji wa kundi la ISIL. Wapiganaji wa kundi la ISIL.
Katika hatua nyengine, kundi la waasi wa Syria la Al-Nusra Front limetangaza kujiunga rasmi na ISIL, hatua ambayo sasa inaifungulia njia ISIL kuchukuwa udhibiti wa pande zote mbili za mpaka wa Iraq na Syria.
Mkurugenzi wa Shirika la Haki za Binaadamu la Syria lenye makao yake London, Rami Abdel Rahman, amesema kiapo cha utiifu kwa ISIL kilichotolewa leo katika mji wa Albu Kamal, kinakuja wakati ISIL ikisonga mbele katika jimbo la Deir Ezzor.
Awali, Nusra Front na ISIL walikuwa mahasimu, ingawa wote wana mafungamano na al-Qaida.
Nchini Iraq kwenyewe, wanamgambo wameishambulia kambi kubwa ya kijeshi katika mji wa Yathriib, ulio umbali wa kilomita 90 kutoka mji mkuu, Baghdad.
Wanamgambo wa ISIL wakisaidiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni waliizunguka kambi inayoitwa "Anaconda", mapema leo, na shirika la habari la Reuters linasema kiasi cha wapiganaji wanne wameuawa.
Mwandishi: Mohammed Khelef/AP/Reuters/dpa
Mhariri: Mohamed Abdul-Rahman
DW SWAHILI

Posted by Editor on 17:09. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Iraq yadai kuwashinda ISIL Baiji

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers