EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Mkutano dhidi ya mabomu ya ardhini waendelea Msumbiji

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399


Mkutano wa tatu wa mapitio ya mkataba wa Ottawa unaopiga marufuku mabomu ya kutegwa ardhini umeingia katika siku yake ya pili leo(24.06.2014) mjini Maputo nchini Msumbiji.
Armando Guebuza Rais wa Msumbiji Armando Guebuza
Msumbiji baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyochukua muda mrefu, ilikuwa ni moja kati ya nchi zilizotegwa kwa wingi mabomu hayo ya ardhini. Miaka 15 iliyopita mkutano wa kwanza kuhusiana na upigaji marufuku mabomu ya kutegwa ardhini ulifanyika mjini Maputo. Kwa sasa Msumbiji ni moja kati ya nchi iliyopiga hatua kubwa katika kuondoa mabomu hayo yaliyotegwa ardhini.
Msumbiji ilikuwa nchi ya tano duniani ambayo ina mabomu mengi zaidi yaliyotegwa ardhini , ambayo hivi sasa inakaribia kuwa haina tena mabomu hayo.Hadi mwishoni mwa mwaka huu serikali ya Msumbiji inataka kuyaondoa mabomu mengine 303 yaliyobaki katika maeneo ya nchi hiyo. Eneo ambalo ni kubwa kama mji mkuu Maputo bado kazi ya kuyaondoa mabomu hayo inaendelea.
Minenräumung in Mosambik Uondoaji wa mabomu ya ardhini nchini Msumbiji
Mabomu yatakuwa yameondolewa hadi mwishoni mwa mwaka huu
Kuanzia mwaka 2007 kiasi ya mabomu 100,000 yameondolewa katika majimbo kadha ya nchi hiyo. Naibu waziri wa mambo ya kigeni wa Msumbiji Henrique Banze anaamini kuwa kazi ya kuyaondoa mabomu hayo inawezekana kumalizika hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
Hakuna mtu aliyefikiria kuwa inawezekana kuyaondoa mabomu yote yaliyozikwa ardhini ifikapo mwishoni mwa mwaka 2014.Lakini kutokana na ushirikiano wa mashirika yasiyo ya kiserikali , wafadhili wa kimataifa na serikali ya Msumbiji suala hilo lilifanikishwa na hivi sasa kila mtu anaweza kutembea bila ya kuwa na wasi wasi wa kuripuka bomu la kutegwa ardhini nchini humo.
Rais wa Msumbiji Armando Guebuza ametoa shukurani kwa wafadhili wa kimataifa katika hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano huo mjini Maputo jana.
"Tunataka kutumia fursa hii, kuiomba jumuiya ya kumataifa kuchukua hatua madhubuti , ili kuiondolea Msumbiji mabomu yote ya kutegwa ardhini.Utekelezaji wa mkataba wa Ottawa umeleta matokeo mazuri. Sasa tunataka kuelekea katika njia ambayo dunia nzima ifaidike na matokeo haya ili kutokomeza kabisa biashara ya mabomu ya kutegwa ardhini na kuyaondoa mabomu yote yaliyotegwa ardhini."
Minenräumung in Mosambik Kazi ya kuondoa mabomu ya kutegwa ardhini nchini Msumbuji ikiendelea
Marekani haijasaini
Hata hivyo Marekani bado haijatia saini mkataba wa kimataifa wa kupiga marufuku mabomu ya kutegwa ardhini ambao umetiwa saini na mataifa 160. Nchi zilizotia saini mkataba huo wa kupiga marufuku mabomu ya kutegwa ardhini zinatakiwa kuweka nia ya kuhakikisha majeshi yote duniani hayatumii tena mabomu ya kutegwa ardhini ifikapo mwaka 2025.
Lakini Marekani, Urusi na China , pamoja na mataifa yenye silaha za kinyuklia kama India na Pakistan, hayajatia saini mkataba unaopiga marufuku matumizi ya mabomu ya kutegwa ardhini, mabomu ambayo yanasababisha maafa makubwa kwa raia hata baada ya miaka kadha kumalizika vita.
Katika mwaka 2009 , Marekani imesema inaangalia upya msimamo wake kuhusu mabomu hayo lakini imeshindwa kutia saini mkataba huo licha ya mbinyo mkali kutoka kwa makundi yanayofanya kampeni ya kusitishwa kwa matumizi ya mabomu hayo.
Ratten helfen bei der Minenräumung Panya hutumika kugundua mabomu ya kutegwa ardhini
Kundi linalofanya kampeni ya kupigwa marufuku kwa mabomu hayo limesema kuwa bado kuna kazi kubwa ya kufanywa hadi dunia iondokane kabisa na mabomu hayo.
"Muda sasa umefika wa kukamilisha kazi hii na tuifanye katika muda wa miaka 10," kundi linalofanya kampeni ya kimataifa ya kupiga marufuku mabomu ya kutegwa ardhini (ICBL) limesema katika taarifa yake.
Mwandishi: Romeu da Silva / ZR / afpe / Sekione Kitojo
Mhariri: Mohammed Abdul Rahman
 DW SWAHILI

Posted by Editor on 17:04. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Mkutano dhidi ya mabomu ya ardhini waendelea Msumbiji

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers