EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Papa ataka mazungumzo ya amani ya kijasiri

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Papa Francis amewataka viongozi wa Wapalestina na Israel wakate kiu ya amani ya watu wao kwa mazungumzo ya kijasiri wakati wa mkutano wa sala ya maombi ukiwakutanisha Wayahudi, Wakristo na Waislamu huko Vatican.
Papa Francis na Rais Mahmud Abbas wa Wapalestina (kushoto) na Rais Shimon Peres wa Israel (kulia) katika bustani za Vatican. (08.06.2014) Papa Francis na Rais Mahmud Abbas wa Wapalestina (kushoto) na Rais Shimon Peres wa Israel (kulia) katika bustani za Vatican. (08.06.2014)
Papa Francis ametowa wito mzito Jumapili (09.06.2014)kwa Rais Shimon Peres wa Israel na mwenzake Mahmoud Abbas wa Wapalestina mwishoni mwa misa ya jioni ya saa mbili iliofanyika katika bustani za Vatican, mjumuiko ambao papa anataraji utauanzisha tena mchakato wa amani wa Mashariki ya Kati.
Amesema juhudi za kutafuta amani zinahitaji ushujaa kuliko hata ule wa vita, unahitaji kusema ndio kwa kukutana na hapana kwa mzozo,ndio kwa kwa na mazungumzo na hapana kwa uhasama.
Papa alikuwa akizungumza baada ya marabi wa Kiyahudi, makadinali wa Kikristo na maimamu wa Kiislamu kukariri aya kutoka Agano la kale,agano jipya na Quran kwa lugha ya Kitaliana,Kingereza,Kiyahudi na Kiarabu katika tukio la kwanza lenye kujumuisha dini tafauti.
Katika hotuba yake nzito kwa lugha ya Kitaliana Papa Francis ametowa wito wa kuheshimiwa kwa makubaliano na kupinga vitendo vya uchokozi.Amesema yote hayo yanahitaji ushujaa, nguvu na un'gan'ganizi.
Wajibu kutafuta amani
Papa Francis akihutubia Vatican. (08.06.2014) Papa Francis akihutubia Vatican. (08.06.2014)
Papa Francis ambaye alitowa mwaliko wa ghafla kwa viongozi hao wawili wakati wa ziara yake katika Ardhi Takatifu mwezi uliopita yaani Israel na Maeneo ya Wapalestina amesema kwamba juhudi za kutafuta amani ni hatua ya uwajibikaji mkubwa mbele ya ufahamu wetu na mbele ya watu wetu na kueleza kwamba mamilioni ya watu duniani kote wa imani za dini tafauti wanaiombea amani pamoja nao.
Huo ulikuwa mkutano wa kwanza wa hadhara kati ya marais hao wawili kufanyika baada ya zaidi ya mwaka mmoja na umefanyika ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja baada ya mazungumzo ya amani yanayoongozwa na Marekani kusambaratika huku kila upande ukiilamu mwenzake.
Peres ambaye anatimiza miaka 90 na muda wake unamalizika mwezi ujao aliachana na hotuba aliyokuwa ameiandaa kwa Kingereza na Kihebrew kusema kwamba yeye ni mtu mzima aliayeshuhudia vita na kuonja amani na kwamba viongozi wote wanastahiki kuwapatia watoto mustakbali mwema.
Abbas ameomba Mungu awaletee amani ya haki na kamili kwa nchi yao na eneo hilo zima ili kwamba watu wa Mashariki ya Kati na dunia kwa jumla wafurahie matunda ya amani,utulivu na kuishi pamoja kwa maelewano.
Serikali ya muungano ya Wapalestina
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Jose Manuel Barroso. Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Jose Manuel Barroso.
Wakati huo huo Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Jose Manuel Barosso ameuambia mkutano wa usalama wa Israel makubaliano ya muungano wa Wapalestina na kundi la Hamas lazima yaungwe mkono.
Tamko lake hilo la jana limekuja siku chache tu baada serikali ya muungano ya Wapalestina yenye kuundwa na wataalmu huru wa kisiasa lakini inayoungwa mkono na Hamas kuapishwa hatua ambayo imekaribishwa na jumuiya ya kimataifa lakini imepingwa na Israel kama ni kikwazo kikuu cha amani.
Barroso amewaambia wajumbe katika mkutano huo unaofanyika kwenye mji wa mwambao wa Israel wa Herzliya kwamba kwa maslahi ya mustakbali wa makubaliano ya amani na uwakilishi halali wa serikali makubaliano ya usuluhishi baina ya Wapalestina yanapaswa kuungwa mkono.
Mwandishi : Mohamed Dahman
Reuters/AFP
Mhariri:Mohammed Abdul-Rahman
 DW

Posted by Editor on 19:45. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Papa ataka mazungumzo ya amani ya kijasiri

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers