Share this Post

dailyvideo

Rais Kikwete atua Malabo, Equtorial Guinea, kuhudhuria Mkutano wa 23 wa Umoja wa Afrika

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

ma5

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mji mkuu wa Equatorial Guinea wa Malabo jana Juni 24, 2014 kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Africa –African Union (AU).
Akiwa Malabo, Mheshimiwa Rais Kikwete pia atakuwa Mwenyekiti wa kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa AU kitakachojadili mazingira. Rais Kikwete na ujumbe wake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki.
ma6
ma2
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa Equatorial Guinea Mhe Vicente Ehate Tomi alipowasili  katika katika uwanja wa ndege wa Malabo, Equatorial Guinea, jana Juni 24, 2014.(PICHA NA IKULU).
ma3
ma4
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa katika uwanja wa ndege wa Malabo, Equatorial Guinea, jana Juni 24, 2014.
 Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
IKULU
DAR ES SALAAM.

Posted by Editor on 08:30. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Rais Kikwete atua Malabo, Equtorial Guinea, kuhudhuria Mkutano wa 23 wa Umoja wa Afrika

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery