Sony imeipiku Nintendo katika mauzo .
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Data hiyo iliripotiwa kwa mara ya kwanza na tovuti ya habari ya kibiashara ya , Japani
Msingi wa ripoti hiyo ni kutokana na takwimu iliyochapishwa na Nintendo mbele ya mkutano wa wanahisa, na pia taarifa ya mapato iliyotolewa hapo awali na Sony
Habari hizi sio za kushangaza.

Lakini mahitaji ya mchezo ujulukanayo kama Wii U wa Nintendo uliyo na uwezo wa kisasa wa kugusa kioo umebakia nyuma ya mchezo ya Wii ya awali iliyokuwa kifaa maarufu zaidi kwa kizazi kilichopita.
Takwimu hizo pia zilikuwa pamoja na zile za mauzo za kitambo za 'Playstation 3' na Wii ya hapo awali pamoja na 3DS ya Nintendo na pia PS Vita za Sony

Ripoti ya Nikkei ilifuatia tangazo kutoka Nintendo kuwa ilikuwa inafunga makao makuu ya Ulaya nchini Ujerumani.
Habari hizo zilifuatia ripoti za Nintendo ya kusajili hasara ya dola milioni 229 kwa mwaka wa kifedha ulioisha tarehe 31 mwezi Machi.

