EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

KIPI NI KIPI? Uzazi, elimu au kazi?

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Mwanamke anaweza kupoteza uwezo wa kuzaa kuanzia umri wa miaka 35
Mtangazaji mmoja mwanamke anawashauri wanawake kuweka mipango yao ya elimu ya juu na kazi kando ili kuweza kupata watoto kwa sababu uwezo wa mwanamke kuzaa hupungua na umri.
Katika mahojiano na mtangazaji maarufu wa BBC, Jeremy Paxman, mwanamke huyo Bi Allsopp, alisema kuwa,'' wanawake pia wanapaswa kuwa wakweli kuhusu umri wao akisema kwamba swala hilo bado ni mwiko miongoni mwa wanawake.
Sasa je nini ukweli kuhusu umri unaofaa kwa wanawake kupata watoto?
Kwa mujibu wa takwimu zilizochapishwa mwaka 2013 nchini Uingereza, wanawake bila shaka hawapaswi kupoteza matumai ikiwa umepita umri wa kuzaa yaani kati ya miaka 25-40
'Umri upi unafaa?'
Kirstie Allsopp anahoji ikiwa mwanamke anapaswa kuweka swala la elimu ya juu kando na kupata familia
Kwa mujibu wa utafiti huo, asilimia 80 ya wazazi wataweza kupata mtoto chini ya mwaka mmoja ikiwa mwanamke ana umri wa miaka 40. Sharti ni kwamba wawe wanajihusisha na tendo la ndoa karibu kila siku na wala wasitumie mpango wa uzazi.
Utafiti huo unasema kuwa wale ambao hawapati watoto katika mwaka wa kwanza, takriban nusu yao watajifungua katika mwaka wao wa pili wa ndoa.
Idadi ya wanawake ambao wanapatwa na shida ya kushika mimba ni asilimia kumi nchini Uingereza. Bi Allsopp, anahoji ikiwa ni sawa kwa wanawake kuweka kando mpango wa elimu ya juu zaidi ili kupatia kipaombele swala la uzazi? Nini maoni yako?
Tunajua vyema kuwa uwezo wa mwanamke kushika mimba hupungua kadri umri wake unapoendelea kukua.
Lakini wataalamu wanasema kwamba sio rahisi kama inavyodhaniwa.
Wanawake wengine wanapata ugumu kushika mimba hata wakiwa na umri wa miaka 20 kuelekea juu wakati wengine wakigundua kuwa hawana tatizo la kuzaa hata wakiwa na zaidi ya miaka 40.
'Mfumo wa maisha'
Kupata kazi nzuri huwa ni kikwazo katika swala la kupata watoto
Licha ya kujihusisha na tendo la ndoa kila siku, kuna baadhi ya watu ambao hawawezi kushika mimba, sababu za tatizo hilo ni nyingi
Mfumo wa maisha ukiwa moja ya sababu hizo, lakini wakati mwingi huwa ni vigumu kueleza kwa nini mwanamke hawezi kushika mimba.
Watoto wasichana huzaliwa wakiwa na mayai mengi, karibu milioni moja. Lakini wanapovunja ungo huwa ni mayai 400,000 pekee ambayo huwa yamebakia mwilini.
Mayai haya huendelea kupungua mwanamke anapokuwa. Takriban mayai 1,000 hupotea kila mwazi.
Wataalamu wa afya wanasema ni bora kwa wanawake kujaribu kupata watoto wanapokuwa wachanga wa umri kuanzia miaka 20 hadi thelathini na tano. Ujauzito wao hautakuwa na changamoto nyingi na pia itakuwa rahisi kwao kujifungua na pia kufurahia watoto wao.
Lakini mfumo wa siku hizi wa maisha hauwezi kuruhusu hilo kufanyika.
Elimu ya juu, kazi na kumsaka 'Mr Right' au mwanamume unayemuona kuwa sawa kwa maisha na ndoa naye. Yote haya yana maana kuwa mwanamke anaweza tu kupata mtoto akiwa na umri wa miaka 30 kuelekea juu.
Wanawake wanaofika umri wa miaka 40 wanakabiliwa na tisho la mimba kutoka, au hata kutoshika hiyo mimba na pia watoto wanaozaliwa katika umri huo huwa na matatizo mengi ya kiafya.
 BBC

Posted by Editor on 20:02. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for KIPI NI KIPI? Uzazi, elimu au kazi?

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers