Share this Post

dailyvideo

WASANII WA BONGO: MSHUHUDIE DIAMOND PLATNUMZ AKIWA STUDIO KUREKODI NGOMA PAMOJA NA MAFIKIZOLO.

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

DIAMOND THE PLATNUMZ AAMUA KUFANYA KOLABO NA MAFIKIZOLO CHECK HAPA NDANI YA SOUTH AFRICA

Haya another step kwa msanii diamond the platnumz, last nyt mtandao wa SWAHILII umepokea habari kupitia wadau na mashabiki wake , yakuwa msanii diamond the platnumz tayari ameshafanikiwa kufanya collabo na wasanii wanaounda kundi la mafikizolo, soon audio track itakuwa released okay gud for diamond the platnumz keep it up bro hiyo ni step nyingine kubwa kwako.

Posted by Editor on 07:26. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for WASANII WA BONGO: MSHUHUDIE DIAMOND PLATNUMZ AKIWA STUDIO KUREKODI NGOMA PAMOJA NA MAFIKIZOLO.

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery