LEO NI SIKU YA UHURU WA NCHI YA MAREKANI
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Tarehe 4 July kila mwaka wananchi wa Marekani husherehekea siku ya Uhuru
wa nchi yao. Walipata uhuru wao mwaka 1776 toka kwa Mwingereza na Rais
wa Kwanza wa Marekani kuchukua madaraka alikua ni George Washington.
Siku hii hujulikana zaidi kama siku ya familia ambapo familia nyingi
hukutana na kufanya piknik na nyama choma na watu wengi hueka bendera ya
Marekani nje ya nyumba zao zikiwemo jumuiya mbalimbali na baadae
hulipua fataki mida ya usiku
Bofya soma zaid upate majina ya Marais wa Marekani tangia walipapata Uhuru
18th Century
1. George Washington | 2. John Adams |
19th Century
20th Century
21st Century
43. George W. Bush | 44. Barack Obama |