MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, ABDULRAHMAN KINANA NA RAIS MSTAAFU, ALI HASSAN MWINYI WATEMBELEA GYM YA MAZOEZI YA TIMU YA AZAM FC, CHAMAZI
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakijaribu kufanya mazoezi
katika mashine zilizo ndani ya Gym ya mazoezi ya timu ya Azam Fc, wakati
walipotembelea Gym hiyo kujionea leo baada ya hafla ya uzinduzi wa
Msikiti wa ‘Masjidil Huda’, kwenye Uwanja wa Chamazi, jijini Dar es
Salaam, leo Julai 4, 2014.
Mkurugenzi
wa Makampuni ya SSB, Said Mohamed, (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa
viongozi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi,
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mwenyekiti wa Makampuni ya
SSB, Said Salim Bakhresa, wakati walipokuwa wakitembelea kujionea Uwanja
wa Azam Complex, unaomilikiwa na timu ya Azam Fc, leo Chamazi. Picha na OMR
02:- Wakitembelea Uwanja wa Chamazi, kujionea maendeleo ya timu ya Azam Fc , leo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakijaribu kufanya mazoezi
katika mashine zilizo ndani ya Gym ya mazoezi ya timu ya Azam Fc, wakati
walipotembelea Gym hiyo kujionea leo baada ya hafla ya uzinduzi wa
Msikiti wa ‘Masjidil Huda’, kwenye Uwanja wa Chamazi, jijini Dar es
Salaam, leo Julai 4, 2014.
Mkurugenzi
wa Makampuni ya SSB, Said Mohamed, (kulia) akitoa maelezo kwa viongozi,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, wakati
walipokuwa wakitembelea kujionea Uwanja Gym ya mazoezi ya timu ya Azam
Fc iliyopo kwenye Uwanja wa Azam Complex, unaomilikiwa na timu ya hiyo,
leo Chamazi.
Mkurugenzi
wa Makampuni ya SSB, Said Mohamed, (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa
viongozi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi,
wakati walipokuwa wakitembelea kujionea Uwanja Gym ya mazoezi ya timu
ya Azam Fc iliyopo kwenye Uwanja wa Azam Complex, unaomilikiwa na timu
ya hiyo, leo Chamazi
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akijaribu kufanya zoezi katika moja ya
mashine zilizo ndani ya Gym ya mazoezi ya timu ya Aazam Fc, kwenye
Uwanja wa Chamazi Complex, wakati walipotembelea Gym hiyo leo. Picha na
OMR