NEWS ALERT: Yesaya Ambilikile YP msanii wa kundi la TKM afariki dunia
Msanii wa kundi la TMK Wanaume Family,Yesaya Ambilikile ‘ Y- P’(kulia
kwenye picha) amefariki dunia usiku wa jana katika hospitali ya Temeke
baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kifua.
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Posted by Editor
on 12:47.
Filed under
entertainmentnews,
feature
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0