EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

WAKENYA KUMCHAGUA RAIS LEO

Imeandikwa na NAIROBI, Kenya
WAKATI Wakenya wanapiga kura leo ya kumchagua Rais wa nchi, imeelezwa kuwa ukosefu wa ajira, rushwa, gharama za maisha, hali ya usalama na huduma za umma za bure ni miongoni mwa mambo ambayo yanapewa kipaumbele na wapiga kura nchini humo.
Suala la usalama kwa uchaguzi wa leo na baada ya uchaguzi ni jambo linalotazamwa kipekee na Wakenya wenyewe, lakini pia Jumuiya ya Kimataifa hasa kutokana na tukio la hivi karibuni la kutekwa na kuuawa kwa Meneja wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC), Chris Msando.
Pamoja na tukio hilo, wananchi nchini humo wanataka uchaguzi uwe wa amani na haki ili zisijirudie vurugu za mwaka 2007-2008 ambapo watu takriban 1,200 waliuawa baada ya Raila Odinga kupinga ushindi wa Mwai Kibaki. Katika maombi yao kwa taifa juzi kutokana na uchaguzi wa leo, baadhi ya viongozi wa dini walisema walisumbuliwa na kauli za wanasiasa zinazosababisha hofu na wasiwasi kwa wananchi.
“Tuliombea amani na uchaguzi wa haki, tuendelee kutunza amani ili tusije tukaangukia kwenye machafuko kama yaliyotokea mwaka 2007-2008,” alisema Moses Njagi, mmoja wa viongozi wa dini walioendesha maombi ya kuombea amani. Ikumbukwe kuwa Raila Odinga mwenye umri wa miaka 72, anagombea urais wa Kenya kwa mara ya nne; kwa sasa anagombea kwa upande wa upinzani kupitia Muungano wa NASA (National Super Alliance). Kwa Odinga, nafasi hii ni muhimu na huenda ikawa ya mwisho kwake katika kinyang’anyiro cha urais kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Aliwania urais kwa mara ya kwanza mwaka 1997 na baadaye mwaka 2007, 2013 na sasa 2017. Wakati Odinga akigombea urais kwa mara ya nne, Rais Uhuru Kenyatta (56) anatetea nafasi yake ya urais kwa kipindi cha pili kupitia Muungano wa Jubilee. Katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2013, takwimu zinaonesha kuwa Rais Kenyata alimshinda Odinga kwa kupata kura milioni 6.1 wakati Odinga alipata kura milioni 5.3 kati ya kura zote 12.3 zilizopigwa.
Katika uchaguzi wa leo, Wakenya takriban milioni 20 watapiga kura ya kuamua ama kumbakisha Rais Kenyatta Ikulu au kumwingiza Odinga. Kutokana na ushindani mkubwa kati ya wanasiasa hao wawili kwa kipindi chote cha siku 70 za kampeni, Wakenya, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na ulimwengu unasubiri kwa hamu kujua nani ataingia Ikulu ya Nairobi.
CHANZO HABARI LEO

Posted by Editor on 12:30. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for WAKENYA KUMCHAGUA RAIS LEO

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers