Share this Post

dailyvideo

KOLO TOURE KUFUNGA NDOA MWEZI HUU.




Mchezaji wa Manchester City na Timu ya Ivory Coast, Kolo Toure anatarajia kufunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu, mama wa watoto wake wawili “Chimène Akassou”. Wawili hawa wamekuwa wakishi pamoja tangu mwaka 2003 Kolo Toure alipoamiami Uingereza.
Kolo akizungumza na vyombo vya habari alisema anatarajia kufunga ndoa na mzazi mwenzie eneo la Mairie de Cocody  mjini  Abidjan, Ivory Coast. tarehe 16 na 17 juni 2012.
Chanzo: Mo Blog

Posted by Editor on 09:23. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for KOLO TOURE KUFUNGA NDOA MWEZI HUU.

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery