Share this Post

dailyvideo

MASTAA WA BONGO:Masanja Mkandamizaji arudi shamba


Mwezi wa sita na wa tano ni miezi maarufu kwa mavuno ya mpunga. Miongoni mwa wakulima hao wa mpunga si mwingine ni Masanja Mkandamiza kwa Original Comedy.
Aliamua kuchukua gari yake ndogo na kudrive hadi Mbarali kwenda kuvuna mpunga.
“Najiandaa kuingia shamba la mpunga Mbarali mwanawane! Kazi asubuhi asubuhi! Jioni unajilia vyako.” Alitweet kuambatanisha na picha.
“Fyeka sana mpunga mwanawane! Tule wapi sasa?” ni aliongeza na kumalizia kwa kuandika, “Nimesema kumekucha! Shambani Mbarali! Pipooo! Kazi ni kazi!”
Kwa hisani ya Chuma Blog

Posted by Editor on 08:07. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MASTAA WA BONGO:Masanja Mkandamizaji arudi shamba

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery