Share this Post

dailyvideo

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki wala Kiapo


Pichani ni Mbunge Shy-Rose Banji akila kiapo chake


Mh. Samuel Sitta ni muwakilishi wa Tanzania 
Mh.Abdullah Alli Hassan Mwinyi 
Mh.Charles Makongoro Nyerere
Mh. Alhaji. Adam Kimbisa
Dkt Twaha Issa Taslima
Mh.Nderkindo Perpetua Kessy
Mhe Bernard Musomi Murunyana
Mhe. Anjela Charless Kizigha
Wabunge
wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) leo wameapishwa rasmi kushika
madaraka hayo huku Tanzania ikiwa na Wawakilishi tisa katika Bunge hulo.

Wabunge
hao waliapa baada ya kupatikana Spika wa mpya wa Bunge hilo ambapo
safari hii ikiwa ni Uganda kushika Uongozi huo wa Juu wa Bunge na Mwana
Uchumi, Margareth Zziwa kuchukua nafasi hiyo.

Wabunge
wote wa Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Mashariki waliokula kiapo
hii leo ni pamoja na Mwenyekiti wa Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge
EALA, Alhaj Adam Omar Kimbisa na Katibu wake, Mh Shy-Rose
SaddrudinBhanji.


Wengine
ni Mhe. Anjela Charless Kizigha, Mh. Maryam Ussi Yahya,Mh.Nderkindo
Perpetua Kessy, Dkt Twaha Issa Taslima, Mhe. Abdullah Ali Hassan Mwinyi,
Mhe Bernard Musomi Murunyana Mhe. Charles Makongoro Nyerere na Waziri
wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta anaeingia kwa wadhifa
wake wa Uwaziri.


Wabunge hao wameapisha pamoja na wabunge wenzao wa Kenya, Uganda, Rwanda na
Picha zote na Father Kidevu Blog

Posted by Editor on 08:01. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki wala Kiapo

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery