Share this Post

dailyvideo

AJALI ZA BARABARANI HUSABABISHWA NA MAKUSUDI NA MICHEZO KAMA HII HAPA.


AJALI nyingi za barabarani nchini husababishwa na madereva wazembe wasio zingatia sheria za matumizi sahihi ya barabara. Miongoni mwa ajali hizo nyingi husababishwa na madereva hao kuovatake magari mengine katika kona au milima kama basi hili linavyofanya katika kona ya Lugalo mkoani Iringa. Madereva “PAMBANA NA AJALI ZA BARABARANI KWA VITENDO, ZINGATIA SHERIA”.
Basi hili linguine nalo lilikuwa linafanya makopsa hay ohayo ya kulipita gari linguine katika miinuka na kona kali za mlima Kitonga.
 
Polisi wa Kikosi cha Usalama barabarani mkoa wa Iringa, akiwepo RTO, SP. Pamphil Honono (kushoto) walimuona na kumsimamisha dereva wa basi hilo. Matukio haya yanatokea ndani ya wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa. 
Dereva huyo alikuwa ni Issack Gerald Nyamaiswe Mkazi wa Mjini Dodoma.
  
Nahapa Askari wa Kikosi cha Usalama barabarani akimwandikia Notfication dereva huyo. 

Posted by Editor on 11:10. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for AJALI ZA BARABARANI HUSABABISHWA NA MAKUSUDI NA MICHEZO KAMA HII HAPA.

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery