NEWS ALERT: MSANII WA HIP HOP TANZANIA LANGA AFARIKI DUNIA.
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa afariki dunia..
Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) amefariki dunia leo
Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) amefariki dunia leo
Langa
alipelekwa hospitali akiwa hajitambui. Anadaiwa kuwa alikumbwa na
Malaria kali sana, Hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili
jana.
Uchunguzi wa chanzo cha kifo chake bado unaendelea.
Msanii Langa aliwahi kutamba na kikundi cha Wakilisha pamoja na witness na sara ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa bongo flava nchini Tanzania.
Mungu amrehemu, Ameen
Uchunguzi wa chanzo cha kifo chake bado unaendelea.
Msanii Langa aliwahi kutamba na kikundi cha Wakilisha pamoja na witness na sara ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa bongo flava nchini Tanzania.
Mungu amrehemu, Ameen
Posted by Editor
on 18:53.
Filed under
celebritiesnews,
feature,
gallery
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0