Share this Post

dailyvideo

WABUNGE WA TANZANIA EAC WAKIWA WANATOKA NJE , NI BAADA YA KIKAO KUVUNJIKA


 Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA)akimsikiliza Mbunge wa bunge hilo kutoka Tanzania, Mhe Shyrose Bhanji wakati wakielekea bungeni.
 Chemba ya Bunge la Afrika Mashariki inavyoonekana wakati kikao kikiendelea 
 Wabunge wa Tanzania kwenye bunge la Afrika Mashariki(EALA)wakitoka ndani ya ukumbi wa bunge hilo Jana kupinga wabunge wenzao wanaoshinikiza hoja zao kwa kutoka kwenye vikao vya bunge. Kutoka kushoto ni Mh.Twaha Taslima,Mh.Shyrose Bhanji,Mh.Abdullah Mwinyi na Mhe Nderakindo Kessy
 Mbunge wa Tanzania kwenye bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mhe Abdullah Mwinyi akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari baada ya kutoka nje na kikao kuhairishwa jana
Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe Ali Mzee (kulia)akizungumza na wabunge wa Tanzania kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki(EALA)kutoka kushoto ni Mh.Shyrose Bhanji,Mh.Nderakindo Kessy,Mh.Twaha Taslima na Mh. Abdullah Mwinyi.



Posted by Editor on 07:10. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for WABUNGE WA TANZANIA EAC WAKIWA WANATOKA NJE , NI BAADA YA KIKAO KUVUNJIKA

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery