Share this Post

dailyvideo

Diamond Platinumz atajwa kuwania tuzo za kimataifa za Kora Music Awards

 

Diamond Platinumz atajwa kuwania tuzo za kimataifa za Kora Music Awards


Msanii Diamond Platnumz, ameendelea kuchana mawimbi katika anga la
muziki hususan kwa upande wa Afrika ambapo amefanikiwa kuingia katika
orodha ya wasanii 20 Bora ambao wanafanya vizuri Afrika, ambao wataingia
katika kinyanganyiro cha kuwania tuzo za Kora.

Diamond katika
orodha hii, anatokea sambamba na majina ya wasanii wakubwa Afrika, kama
vile Oliver Mtukudzi, Fally Ipupa, Mafikizolo pamoja na wakali wengine
wa muziki barani Afrika

Posted by Editor on 11:58. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Diamond Platinumz atajwa kuwania tuzo za kimataifa za Kora Music Awards

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery