TUKIO ZIMA KATIKA PICHA: TAZAMA MAZISHI YA MSANII WA BONGO MOVIE RECHO, KATIKA MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM.
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Majeneza yenye miili ya Recho na mwanaye.Miili
ya Rachel Haule 'Recho' na mwanaye ikishushwa kwenye gari maalum baada
ya kuwasili Viwanja vya Leaders ikitokea nyumbani Palestina, Dar tayari
kwa kuagwa.Waombolezaji wakiwa na simanzi baada ya mwili kuwasili Leaders.
(PICHA NA RICHARD BUKOS, DENIS MTIMA, MAYASA MARIWATA, SHANI RAMADHANI, HAMIDA HASSAN, IMELDA TARIMO/GPL)
Posted by Editor
on 18:10.
Filed under
celebritiesnews,
feature,
gallery
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0