EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

UKRAINE: Hali ni tete kufuatia kura ya maoni Ukraine


Vikosi vya usalama vya Ukraine vimepambana na wanaharakati wanaotaka kujitenga baada ya kura ya maoni iliofanyika kinyume na sheria mashariki mwa nchi hiyo kuonyesha kuunga mkono kwa kauli moja kujipatia uhuru wake.
Mpiganaji wa waasi akijibanza nyuma ya mabehewa ya treni katika mstari wa mbele wa mapambano kwenye mji wa Slavyansk. (12.05.2014) Mpiganaji wa waasi akijibanza nyuma ya mabehewa ya treni katika mstari wa mbele wa mapambano kwenye mji wa Slavyansk. (12.05.2014)
Miripuko kadhaa na sauti za risasi zilisikika karibu na eneo lenye vurugu katika mji wa Slavyansk Jumatatu (12.05.2014) wakati serikali ya Ukraine ikiwa katika harakati za kuwatimuwa waasi wanaoiunga mkono Urusi waliojichimbia katika eneo hilo.
Mapigano yalizuka katika kijiji cha karibu kwenye mstari wa mbele wa mpambano katika mji huo uliozingirwa wenye wakaazi takriban 110,000 wa kile serikali ya Ukraine inachokiita operesheni dhidi ya ugaidi.
Waasi wamekuwa wakiushambulia takriban kila siku mnara huo wa televisheni na vikosi vya serikali vimekuwa vikijibu mapigo kwa mashambulizi ya risasi.
Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine Arsen Avakov amesema katika mtandao wake wa Facebook kwamba wanaharakati wanaotaka kujitenga waliwashambulia askari na mnara huo wa televisheni kwa maguruneti.
Ameripoti kwamba wanaharakati hao ambao imethibitika kuwa wana silaha nzito na waliofunzwa vyema waliushambulia kwa mizinga mnara huo mara kumi na tano na kwamba kulikuwa hakuna maafa kwa upande wa jeshi na pia kulikuwa hakuna taarifa juu ya maafa yaliyotokea kwa upande wa waasi.
Urusi inaheshimu matokeo
Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov. Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov.
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov amesema leo serikali yake inaheshimu matokeo ya kura hiyo ya maoni juu ya kuwa na mamlaka ya kujitawala katika majimbo hayo mawili ya Ukraine.
Amesema matokeo rasmi yatatangazwa hivi karibuni lakini wanaheshimu maamuzi ya wapiga kura wa Donetsk na Luhansk na kwamba wanaamini utekelezaji wa vitendo wa matokeo hayo utapelekea kufanyika kwa mazungumzo kati ya serikali ya Ukraine na wawakilishi wa eneo la mashariki.
Urusi imesema inataraji utekelezaji wa vitendo wa matokeo ya kura hiyo ya maoni utafanyika kwa njia ya ustaarabu.
Imeongeza kusema kwamba Shirika la Usalama na Ushirikiano la Ulaya (OSCE) linaweza kusaidia kuandaa mazungumzo kati ya serikali ya Ukraine na wawakilishi wa eneo la mashariki baada ya takriban asilimia 90 ya wapiga kura kusema katika kura ya maoni iliopigwa hapo jana Jumapili kwamba wanaunga mkono kwa majimbo yao ya Donetsk na Lugansk kuwa na mamlaka za dola.
Hatima ya majimbo
Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi wakianza kuhesabu kura Lugansk.
(11.05.2014 ) Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi wakianza kuhesabu kura Lugansk. (11.05.2014 )
Waasi wanaoiunga mkono Urusi wamesema hatima ya majimbo hayo itajadiliwa baadae leo hii na inaweza kujumuisha uwezekano wa kujitenga,kunyakuliwa na Urusi au kuendelea kubakia kuwa sehemu ya Ukraine.
Kaimu rais wa Ukraine Oleksandr Turchynov amesema katika taarifa leo hii kwamba upuuzi huo ambao magaidi wanauita kuwa kura ya maoni hautokuwa na taathira ya kisheria isipokuwa kuwajibika kihalifu kwa waandaaji wa kura hiyo.
Serikali ya Ukraine na mataifa ya magharibi zimelaani kura hiyo ya maoni kuwa ulaghai na ukiukaji wa sheria ya kimataifa na imeishutumu Urusi kwa kuchochea machafuko katika jaribio la kunyakuwa ardhi zaidi kutoka Ukraine baada ya kulitwaa jimbo la Crimea.
Mwandishi : Mohamed Dahman /AP/AFP/dpa
Mhariri :Mohammed Abdul-Rahman
DW SWAHILI

Posted by Editor on 17:29. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for UKRAINE: Hali ni tete kufuatia kura ya maoni Ukraine

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers