Share this Post

dailyvideo

Filippo Inzaghi ndiye kocha AC MIlan

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Filipo Inzaghi ateuliwa kocha mpya wa AC Milan
AC Milan imemfuta kazi mkufunzi wake Clarence Seedof baada ya kuhudumu kwa chini ya miezi 5 na kumtangaza Filipo Inzaghi kama kocha mpya.
Seedof mwenye umri wa miaka 38 alikuwa amechukua nafasi yake Massimiliano Allegri mwezi Januari, wakati timu hiyo ilikuwa katika nafasi ya 11 katika ligi kuu ya Italia Serie A na alama 30 nyuma ya viongozi wa wakati huo Juventus, ambao walishinda taji hilo mwisho wa msimu.
Filipo Inzaghi ameteuliwa kocha mpya wa AC Milan na kuchukua pahala pa Clarence Seedof
Hata hivyo, mholanzi huyo alishindwa kubadili mkondo na msururu wa matokeo duni uliendelea hadi mwisho wa msimu timu hiyo ilipomaliza ikiwa na alama 45 nyuma ya mabingwa msimu huu Juventus.
 BBC

Posted by Editor on 19:57. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Filippo Inzaghi ndiye kocha AC MIlan

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery