Share this Post

dailyvideo

VIDEO MBILI ALIZOACHIA DIAMOND ZIMEGHARIMU ZAIDI YA MILIONI 200 ZA KITANZANIA



Diamond
Platnum amedondosha video kwa mara moja zote zikiwa zimetengenezwa na
ku recodiwa nje ya Tanzania. tarehe 7/7 ni siku ambayo alizaliwa
mama yake mzazi Diamond na ili kusherehekea siku hii ya kumbukumbuku
nzuri kwake na familia yake, Diamond ameamua kuachia video hizo. 







Video
ya mdogo mdogo imetegenezwa South Africa, na imemgharimu dola 40,000
 ambayo ni sawa na sh milioni 67,200,000. video imefanyika chini ya
Director Godfather.

video ya wimbo wake na Iyanya "Mdogo mdogo" iliyotengenezwa na
kurekodiwa London imemgharimu pia dola 40,000  nakutengeneza jumla ya
shilingi milioni 134,400,000.


Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Posted by Editor on 09:44. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for VIDEO MBILI ALIZOACHIA DIAMOND ZIMEGHARIMU ZAIDI YA MILIONI 200 ZA KITANZANIA

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery