EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

UCHAGUZI KENYA GHALI ZAIDI AFRIKA

Imeandikwa na Mwandishi Wetu
SIKU 10 tangu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Kenya, imeelezwa kuwa nchi hiyo ndiyo inayoongoza kwa kufanya uchaguzi ghali zaidi barani Afrika.
Aidha, kwa duniani imeshika nafasi ya pili, ikitanguliwa na Papua New Guinea inayotajwa kuwa kinara duniani, kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari. Wakati Papua NewGuinea ikitajwa kumgharimu kila mpigakura Dola za Marekani 63 (Sh 132,300 za Tanzania), Kenya imetajwa kumgharimu kila raia wake dola 25.4 (Sh 53,340) ili kulipia gharama za kila kura katika mchakato huo wa kidemokrasia.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha ya Kenya, Kamau Thugge katika taarifa yake kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 8, mwaka huu, makadirio ya fedha za uchaguzi yalikuwa Shilingi za Kenya bilioni 49.9, sawa na dola za Marekani milioni 499 (Sh trilioni 1.04 za Tanzania). “Ni gharama za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja katika uchaguzi.
Gharama za moja kwa moja ni Shilingi za Kenya bilioni 33.3 (Dola milioni 333, sawa na Sh za Tanzania bilioni 700). Kwa mujibu wa mchanganuo uliokuwa umetolewa, dola milioni 429 zilitakiwa kwenda Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), huku kiasi kingine kikisambazwa kwa ajili ya mahakama, taasisi za usalama na msajili wa vyama vya siasa.
Hii ina maana kwamba, kwa dola 25.4 kwa kila mpigakura kati ya Wakenya milioni 19.6 waliojiandikisha, imetia fora kwa kufanya uchaguzi ghali zaidi katika Bara la Afrika. Inaelezwa kuwa, mwaka 2013 Kenya ilitumia Sh bilioni 26 za nchi hiyo, sawa na Dola za Marekani milioni 260 (Sh bilioni 540) kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliomweka madarakani kwa mara ya kwanza Uhuru Kenyatta.
Kiasi hicho ni takribani mara mbili ya uchaguzi wa mwaka huu. Uchaguzi Mkuu wa Kenya mwaka huu pia umevutia idadi kubwa ya wagombea, ambapo kulikuwa na wagombea 16,259 wakiwania nafasi mbalimbali 1,882 huku katika kiti cha urais kilichowaniwa na wagombea wanane, Uhuru Kenyatta (55) alirejea madarakani baada ya kuvuna asilimia 54 ya kura milioni 15.6 zilizopigwa, akimbwaga kwa mara nyingine mshindani wake, Raila Odinga aliyepata asilimia 44.4 ya kura zote.
Hata hivyo, Raila aliyewania urais kwa tiketi ya Muungano wa Vyama vya Upinzani (NASA), ikiwa ni mara yake ya nne kuisaka Ikulu ya Kenya, lakini bila mafanikio, amegomea matokeo ya uchaguzi huo akidai haukuwa huru na wa haki, licha ya waangalizi wa kimataifa kuusifia uchaguzi huo kuwa haukuwa na dosari. Raila mwenye umri wa miaka 72, amekwenda mahakamani kupinga rasmi matokeo ya uchaguzi huo.
Katika Afrika Mashariki, Rwanda ambayo pia imefanya uchaguzi wake mkuu mapema mwezi huu uliomrejesha Rais Paul Kagame madarakani, hivyo kuendelea kuongoza kwa muhula wa tatu, imeelezwa gharama zake za uchaguzi kuwa zimemgharimu kila mpigakura Dola ya Marekani 1.05 (sawa na Sh 2,205 za Tanzania). Ilikuwa na wapigakura waliojiandikisha milioni 6.8.
Katika mwaka 2010, inakadiriwa kila mpigakura wa Rwanda aliigharimu nchi yake dola 1.71 (Sawa za Shilingi za Tanzania 3,591). Gharama za Uchaguzi Mkuu wa Uganda wa mwaka jana, 2016 zinaonesha zilikuwa sawa na Dola 4 za Marekani (Shilingi za Tanzania 8,400), wakati Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 uliomweka madarakani Rais mchapakazi na `kioo’ cha nchi nyingi, Dk John Magufuli ulimgharimu kila mpigakura dola 5.16 (Shilingi za Tanzania 10,836).
Uchaguzi wa Ghana wa mwaka jana umetajwa ndiyo uliokuwa na gharama za chini zaidi barani Afrika, kwa wastani wa dola 0.70 (Sh 1,050 za Tanzania), wakati kiwango cha chini duniani ni wastani wa dola 5 (Sh 10,500 za Tanzania). Nigeria, taifa lenye watu milioni 186 ambalo lina wapigakura takribani milioni 70, mwaka 2015 lilitajwa kutumia dola milioni 603 (Sh za Tanzania trilioni 1.26), sawa na dola 8.61 (Sh 18,081) kwa kila mpigakura.
Tume ya Uchaguzi Tanzania Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ramadhan Kailima amesema kuna mambo ambayo Tanzania inaweza kujifunza kwa namna ambavyo uchaguzi nchini Kenya umefanyika. Aidha, ameipongeza Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) kwa kufanya vizuri katika uchaguzi mkuu uliofanyika Agosti 8, mwaka huu na Rais Kenyatta kurejea madarakani akiwabwaga washindani wake saba, akiwemo wa karibu, Odinga.
“Tume imefanya mambo mazuri sana na wamekuwa mfano hata kuna taasisi zimesema hivyo ikiwemo AU (Umoja wa Afrika) na EU (Jumuiya ya Ulaya), hivyo nina kila sababu ya kumpongeza mtendaji mwenzangu,” alisema Kailima. Alisema utaratibu waliotumia hauna tofauti na utaratibu uliotumika nchini katika uchaguzi mkuu uliopita, lakini kuna baadhi ya mambo yanapaswa kuigwa kutoka kwao. “Mfano matumizi makubwa ya teknolojia, utoaji wa elimu ya mpigakura ambapo wao wameanza kipindi cha maandalizi ya kuboresha daftari la kupigia kura, lakini sisi tutafanya kwa mwaka mzima, kufanya midahalo baina ya Tume na wananchi ili wapate nafasi ya kuuliza maswali na kujibiwa,” alisema Kailima.
CHANZO HABARI LEO

Posted by Editor on 10:38. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for UCHAGUZI KENYA GHALI ZAIDI AFRIKA

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers